Kiigizo Kisichokuwa Na Mfano Muhammad Mustafa

Mwenyezi Mungu mtukufu alimtuma mtume kuwa ni rehma ya milele kwa viumbe wote.Mtume mtukufu ndiye aliyekuwa kielelezo kamili katika kumfunda na kumlea mwanadamu kwa mifano ya kimatendo isiyokuwa na kikomo na ambayo ilishuhudiwa katika maisha yake. Bila shaka hakuna kiigizo kinachofanana nae, na mafanikio ya wanadamu ni katika kumuiga na kumfuata na kujitahidi kufungamana na shakhsia yake ikiwemo kumpenda toka nyoyoni.Mwandishi amefafanua umuhimu wa kumuiga pia ameelezea visa na hali mbalimbali za mtume mtukufu Muhammad Mustafa (s.a.w).


Read In Other Languages

ALBANIAN
AMHARIC
ARABIC
BOSNIAN
CHINESE
CRIMEAN TATAR
ENGLISH
FRENCH
GEORGIAN
GERMAN
HAUSA
HINDI
INDONESIAN
ITALIAN
KURDISH
KYRGYZ
LUGANDA
MALAY
MONGOLIAN
PERSIAN
PORTUGUESE
RUSSIAN
SPANISH
TAJIK
TRADITIONAL CHINESE
URDU
UYGHUR
UZBEK
WOLOF
ZARMA