Uıslamu

Kitabu hiki kinatoa muhstasari kuhusu Uisla­mu. Muhtasari huu ni kama tone la maji ya bahari. Uislamu utakapochunguzwa kwa kina, uta­jitokeza wazi kuwa una mambo mengi ma­zuri ya kutoa. Kwa bahati mbaya, katika zama zetu, kwa makusudi au bila makusudi, Uislamu una­fundishwa katika namna isiyokuwa sahihi na mazuri yake kufunikwa. Lakini, kila mtu mwenye akili, anaweza kuisahihisha akili yake kuhusu Uislamu baada ya kupata picha kamili kutoka kwenye vyanzo sahihi, ambavyo ni vyanzo visivyokuwa na upendeleo wala chuki.


Read In Other Languages

AMHARIC
CHINESE
DUTCH
ENGLISH
FRENCH
GEORGIAN
GERMAN
HUNGARIAN
JAPANESE
LUGANDA
MONGOLIAN
PERSIAN
PORTUGUESE
ROMANIAN
SPANISH
TRADITIONAL CHINESE
TURKMEN
TWI
UKRAINIAN