Uıslamu Imanı Na Matendo

Kila mwenye akili timamu anafahamu kuwa ulimwengu huu umeumbwa kwa lengo maalum.ili kutimiza lengo Allah ameituma mitume pamoja na dini ili kuwaongoza watu. Waislamu walipoutekeleza uislamu wao imani zao zilionekana katika matendo waliokuwa wakiyatenda.Ibada zimekuwa zikitekelezwa bila kufikiriwa kanakwamba ni ada na desturi za jamii ya huku roho ya uislamu ikikosekana kabisa.Kitabu hiki kinalenga kuangaza eneo la kiroho la ibada za kiislamu na kuzipamba kwa vazi la na visa vya mitume na vmaswahaba wao na Masuffi wema.


Read In Other Languages

ARABIC
BULGARIAN
CHINESE
ENGLISH
FRENCH
GEORGIAN
GERMAN
HUNGARIAN
KAZAKH
KAZAKH
KYRGYZ
LUGANDA
PORTUGUESE
RUSSIAN
SPANISH
TRADITIONAL CHINESE
UYGHUR